mcc

Monday, September 3, 2012

Harusi ya Mr & Mrs Ezekiel Marco - 19 /8/2012- Mwenge Social HALL

     Kawaida  ya  Mc   Mzuri  na  Makini   na  kazi  yake  ni   Lazima  awahi   ukumbini    na  hii  ni  moja  ya  sifa  alizonazo  Mc  Christina ,    hapa  akiwa  anajiandaa    kusimamia  sherehe  ya  Ndg  Ezekiel  Marco na  Fauzia  Stiven   iliyofanyika     ukumbi  wa  Mwenge  Social  Hall
     Mr &  Mrs   Ezekiel   M .  Marco,  Duu   kuoa  rahaaaaaaaaa!!!!!  asikwambie  mtu, Cheki  Bwana  harusi  Pozi    lake    kama  anataka   Kupaa  Vile !!!




Sunday, September 2, 2012

Harusi ya Francis Bahuta na Jaquline Karimjee Hall - 18/8/2012

  MC  CHRISTINA    A.K.A    KULA  KEKI  AKIWA  KIKAZI  ZAIDI    KUSHEREHESHA .
                                           Mr  and  Mrs   Francis  Bahuta    katika  pozi    la  Harusi






Kitchen party Ya NANAN - Ukumbi wa Navy Beach Kigambani

      Mc   Christina    kama  kawa  kama  Dawa  akinogesha  Kitchen  ya  Dada  NINAN   tafrija  iliyofanyika Ukumbi  wa  NAVY  KIGAMBONI   
                                                     Dada  NANAN   na  Mpambe  wake   






Kitchen Party ya NEEMA - ukumbi wa Mbezi Beach

               NEEMA     ALIPENDEZA  SANAA   , CHEK      STAILI  HII


  CHEARS  TIME  ......


DUUUU,  AMA  KWELI   KULA  KEKI KUTAMU ,  NEEMA  AKIMPA  ZAWADI    MC   WA  SIKU  HIYO   Mc CHRISTINA
    HADI   RAHA, NEEMA    KAJIACHIA  HUKU  MKAKA  AKIWA    MITAMBONI....

Harusi ya Mdogo wake na Papa Msofe - Ugweno Mwanga 26/12/2010

Mc  Christina     akiwasindikiza   Maharusi  hawa   Mr  and  Mrs   Papa   Msofe  ( Mdogo  Wake )