mcc

Friday, December 14, 2012

SEND OFF ya Prisca Iliyofanyika Katika Ukumbi wa Makonde Villa tar 29/11/12






SEND OFF ya Christina iliyofanyika katika Ukumbi wa Victoria Hall , December 2012



                                         Mc Christina Matiku akiwakaribisha wageni walikwa.

SEND OFF YA ROSE Iliyofanyika Katika Ukumbi wa Banana Hall Jijini Dar es Salaam.

                                    Mc Christina akiwa kikazi zaidi.




Tafrija ya Harusi Mr & Mrs Francis katika ukumbi Pamo Beach tarehe 1 Desemba 2012.

Mc   Christina   akisherehesha   ,  kama    kawa  kama   dawa!!!!  UTAMTAKAAA......, WAPI  KULA  KEKI !!!!!!

                                                        Mr  &  Mrs    wakishow   LOVE



Monday, September 3, 2012

Harusi ya Mr & Mrs Ezekiel Marco - 19 /8/2012- Mwenge Social HALL

     Kawaida  ya  Mc   Mzuri  na  Makini   na  kazi  yake  ni   Lazima  awahi   ukumbini    na  hii  ni  moja  ya  sifa  alizonazo  Mc  Christina ,    hapa  akiwa  anajiandaa    kusimamia  sherehe  ya  Ndg  Ezekiel  Marco na  Fauzia  Stiven   iliyofanyika     ukumbi  wa  Mwenge  Social  Hall
     Mr &  Mrs   Ezekiel   M .  Marco,  Duu   kuoa  rahaaaaaaaaa!!!!!  asikwambie  mtu, Cheki  Bwana  harusi  Pozi    lake    kama  anataka   Kupaa  Vile !!!




Sunday, September 2, 2012

Harusi ya Francis Bahuta na Jaquline Karimjee Hall - 18/8/2012

  MC  CHRISTINA    A.K.A    KULA  KEKI  AKIWA  KIKAZI  ZAIDI    KUSHEREHESHA .
                                           Mr  and  Mrs   Francis  Bahuta    katika  pozi    la  Harusi






Kitchen party Ya NANAN - Ukumbi wa Navy Beach Kigambani

      Mc   Christina    kama  kawa  kama  Dawa  akinogesha  Kitchen  ya  Dada  NINAN   tafrija  iliyofanyika Ukumbi  wa  NAVY  KIGAMBONI   
                                                     Dada  NANAN   na  Mpambe  wake